TASKIU INAKARIBIA KWENYE KIPINDI CHA MAONYESHO MAKUBWA TAREHE 21/28 NA 29 MWEZI HUU WA 11
MSIMU WA BURUDANI katika miaka kadhaa sasa Taskiu Imekua ikiwakamata watu kwa burudani la aina yake kwa kutumia wasanii wenye mbembwe za aina yake sasa safari hii tunao Profesional comedy group Best talent art group Top level group Zama asili culture Group Hot star group Makundi yote haya ni tarehe 21 huko rock city Mwanza Tarehe 28 Singida Na tarehe 29 Top level WatakuA Musoma Shoo za kibabe chini ya usimamizi wa fundi promot Pascal steven Uskose kufika Utaburudika na utaelimika Taskiu #thenextlevel