Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili, 2021

TASKIU LOGO 2021

Picha
Hiyo ndio nembo halisi Ya taskiu grops 2021

HII NI KUBWA KULIKO "WHITE FURNITURE" WAMEKUJA KIVINGINE KABISA KATIKA KARNE HII YA KIDIGITALI WANAKUJIA NA THAMANI ZA KISASA KWA AJILI YA MAJUMBANI NA MAOFISINI

Picha
VIP MDAU MAISHA NI MSWAKI TU SAIVI Neno kinywani mwa wajanja sasa ni WHITE FURNITURE WAkali wa thamani za maofisini na majumbani kutoka Keko Dar Es Salaam wanakuja na bidhaa mpya na za kijanja kinoma noma kama unavyoona hapo pichani ni hatari. woy ni hatari tena wanatisha hawa jamaa ila tena hawajaishia apo ona hizi tena dah, hizo ni meza tu lakini pia makabati wanayo kama ivi ebwanae ni atari umeona na hiyo? cha kufanya bwana ili kujipatia mavitu ya kijanja kama hayo wacheki whatsap namba +255 712 965 608

KWA NIABA YA VIONGOZI WOTE WANACHAMA WOTE NA WASHIRIKA WA TASKIU GROUP TUNAPENDA KUWATAKIA WAISILAMU WOTE MWEZI MWEMA WA TOBA RAMAADHAN TUKUFU

Picha
RAMADHAN KAREEM Wana TASKIU TUmeona sababu kubwa kuwakumbuka wenzetu wanaofunga katika kufanya toba mwezi huu mtukufu wa ramadhan wakiwemo pia wanachama wetu na waislamu wote mwezi huu uwe wa mafanikio tele kwa yale yote mliokusudia pia Msisahau kuliombea taifa letu la TANZANIA katika wakati huu ambapo bado hatujajua hatma kamili itakuaje lakini pia niwakumbushe wanachama wote waislamu maneno ya madam AGNES Jana aliwaomba wanachama wote kuiombea TASKIU Katika mwezi huu mtukufu ili iweze kusonga mbele na kufikia malengo

Kuna haja ya kumpa ofisi bwana Clement Chagu Wadatoga atufanyie mambo makubwa

Picha
CLEMENT CHAGU WADATOGA pichani ndie tumaini la umoja mwaka 2023 kwani kutokana na shinikizo la wadau wa Taskiu Imeonekana wazi viongozi wengi hawatagombea tena nafasi za juu akiwepo mwenyekiti wa sasa Madame Agnes Ambaye ametamka hivi majuzi kuwa ili kuwe na mabadiliko chanya ndani ya umoja wadau wayaone ni afadhali hata uongozi pia ubadilishwe na kutoa wale wote wanaohudumu katika sekta za uongozi zaidi ya miaka 6 lakini pia pendekezo la marekebisho ya katiba 2023 litakalomwezesha mwenyekiti wa umoja kumteua katibu mkuu, mweka hazina na afisa mipango limeonekana kuwa babu kubwa zaidi tofauti na miaka iliyopita watu hawa kuchaguliwa na wanachama lakini swala linalokuja mbele yetu ni swali moja JE KUBADILISHA VIONGOZI WA ZAMANI NA KUWEKA WAPYA NDIO JIBU LA MAFANIKIO? Tunapaswa kujiuliza mara tatu tatu katika maamuzi yetu Ndio maana nikasema kuna haja ya kumpa uenyekiti CLEMENT alafu wengine tukabadilisha ili tupate hekima kwa mkongwe huyu

MOJAWAPO YA PICHA AMBAZO ZINADHIHIRISHA UMAHIRI WA MAFUNDI WETU KATIKA KUIPA DARI YA NYUMBA YAKO MUONEKANO WA KIPEKEE

Picha
ULIMWENGU WETU DUNIA YETU UJUZI WETU +255 710 233 501 KWa maelezo zaidi

HERI YA SIKUKUU YA PASAKA 2021

Picha
KWA niaba ya kamati zote na uongozi wa TASKIU GROUP COMPANY LIMITED tunapenda kuwatakia sikukuu njema