Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2021

THAMANI YA KIPANDE CHA HISA NDANI YA TASKIU GROUP CO.LTD NI RASMI IMEPANDA

Picha
Huenda labda unajiuliza kuwa itakuaje maana labda ulisikia tetesi kuwa kuna uwezekano tukatoka kwenye kununua kipande kimoja cha HISA Shilingi 750 hadi kukinunua shilingi 1000 za kitanzania hio ilikua inahisiwa sasa jana rasmi katika kikao cha pili cha mwaka limepitishwa rasmi na kukubaliwa na wajumbe wote wa mkutano hivyo kuanzia jana Kwa mujibu wa katiba ni kwamba thamani ya kipande cha HISA Ni shilingi 1000 pesa za kitanzania lakini je kwa wale walionunua kipande shilingi 750 itakuaje wala usitie shaka Mdau Kama umenunua kipande kwa bei ya zamani kuna njia mbili za uboresHaji (1) Ubaki na hesabu lako la vipande ulivyonavyo kisha januari kauika gawio ukatwe shilingi 250 kwa kila kipande unachomiliki ili kujazia thamani ya kipande kuwa 1000 au (2) vipande vyako vipunguzwe kwa idadi itakayoruhusu thamani ya vipande vyako vyote kuwa shilingi 1000 kama hujaelewa unashauriwa kuwasiliana na uongozi mapema kwa maelekezo zaidi.

TASKIU GROUP COMPANY LIMITED RAFIKI WA WATU WANAOPENDA MAENDELEO YA PAMOJA NA SI UBINAFI WA KUJITAKIA MAFANIKIO MWENYEWE

Picha
Huyu ni madame Agnes mziray Jana alipoongoza kamati tendaji katika kikao cha sita na cha nusu mwaka ambacho kimeacha wadau wengi wa Taskiu Baada ya kuvuliwa uanachama wale jamaa wawili waliokula fedha za mradi wa mbogamboga kule iringa, kwa kawaida ilitakiwa wajitetee kabla ya jana lakini mabwana wale wamekua wakiipiga chenga ofici kuu lakini kitendo hicho kisichovumilika kiliipa kamati tendaji ikiongozwa na madame Agness Jana maamuzi ya kuwavua uanachama mabwana wale waliotumia fedha za Taskiu Kinyume na katiba Na kutokana na jamaa hawakuta kujitetea maamuzi yaliyofanywa na mkutano yakawa ni halali Je kwa wadau wanasemaje karibu ya asilimia mia wameunga mkono swala hilo tena nafikiri mdau ambaye hataona kuwa imetendeka haki hata yeye achunguzwe iwe itakavyokva lazima Tusonge mbele.