Machapisho

SOKO JIPYA LA HISA TASKIU GROUP COMPANY TAR. 8-9-2024

Hilo ndilo jambo la kusubiriwa na kila mdau wa taskiu kwamba ni mda mrefu tangu mara ya mwisho taskiu ilipoweka mpango mkakati wa kupanua mipaka yake na ilikua ni baada ya kuweka miradi ya kilimo manyara iliogharimu milion 35 safari hii mpango mkakati umekua ni kuzifikia babati na simanjiro ambapo zimeazimiwa kuuzwa hisa elfu 60 mpaka ifikapo mwezi wa tisa makani hilo ndilo linalosubiriwa kuiona taskiu ikisogea zaidi baada ya miaka miwili mungu ibariki taskiu ifikie malengo yake.

Hatimaye TASKIU GROUP COMPANY LIMITED yaamua rasmi kujikita kwenye ulingo wa sanaa rasmi

Azimio hilo limepita rasmi kwenye kikao cha fungua mwaka cha bajeti ambapo Taskiu Imeamua rasmi kujikita zaidi katika sanaa mbalimbali ikiwemo ngoma za asili uigizaji uimbaji pamoja na fani nyingi nyingi za sanaa hivyo tunatazamia mambo makubwa zaidi 2022 taskiu 2022 world of entertainment

Mdomo unaumba part 2 Taskiu Production 2021 x264 x264 x264

Picha
mdomo unaumba part 2 full movie

Mdomo Unaumba Part 1 Taskiu Production 2021 720p x264 x264

Picha
Mdomo unaumba part 1 full movie

Merry Christimas kwa niaba ya jopo zima la wadau wa TASKIU wanawatakia watanzania wote na dunia nzima maadhimisho mema ya sikukuu za christimas na mwaka mpya wenye mafanikio tele

Picha

Moja ya mafanikio makubwa tunayojivunia ni katika suala zima la upambaji wa harusi na mikutano

Picha
Moja Ya miradi aliokuja nayo madame rebeka pindi anaingia mwaka jana ilikua ni mradi wa kukodisha mziki na kupamba mikutano na harusi kama utani likiungwa mkono na wachaje mrengo wa kushoto katika kikao cha pili cha mwaka jana katika uongozi wa rebeka kama afsa mipango na jambo hili pia likachukuliwa kama mradi dhoofu kuliko yote pia upande wa wanachama hawakuunga mkono saana lakini kwa mwaka huu mradi huu umekua kati ya miradi iliofanikiwa zaidi ndani ya taskiu bila kujalisha mwaka jana mradi huu ulikua ukisuasua lakin kwa sasa ni mradi unaonekana kuleta kipato kikubwa zaidi kati ya miradi mingi inayomilikiwa na taskiu

Mradi mpya wa usambazaji wa movie zilizotafsiriwa kiswahili na madj wa kali wa TANZANIA sasa ni moja ya mipango mipya ya mwaka 2022

Picha
K atika mipango iliosapotiwa zaidi katika vikao vyote vilivyofanyika mwaka huu ndani ya taskiu ni mada ya usambazaji wa movie za nje ambazo zinatafsiriwa kwa kiswahili na madj wa tanzania kwa kushirikiana kibiashara na madj hao katika kusambaza mada hii ilipita bila kupingwa na mrengo wowote katika kikao hicho cha mwezi 9 mwaka huu na kuwa kikao cha kwanza kupita kwa asilia mia moja zaidi ya vikao vyote vilivyofanyika kati ya mwaka 2020 na 2021 jambo hilo litapitishwa rasmi katika Mkutano mkuu Wa mwaka 2021 utakaofanyika mwezi wa 12

ULIMWENGU MPYA WA TECKNOLOJIA TASKIU HATUJAACHWA HATA KIDOGO NDIO MAANA TUNAKULETEA SIMU ZENYE UWEZO WA DUNIA YA MWISHO AINA YA IPHONE 13 PRO & PRO MAX ILI UENDE SAMBAMBA NA UKUAJI WA KASI WA TECNOLOJIA

Picha
KATIKA ulimwengu huu wa maendeleo kama mkononi hujashika I phone 13 pro na i phone 13 pro max NYAMAza kimya kabisa ebanae dunia inaendelea kwa kasi ya 5g+ sijui unakua kwa wapi kipindi hichi lakini ili uende sambamba na mabadiliko hayo Taskiu Chini ya mradi wake wa maduka ya vifaa vya umeme na tecnolojia maarufu kama The Boss WAmeushusha mzigo mpya kabisa ni kitu cha I phone 13 pro Na I phone 13 pro max Pichani hapo au sio Hapo vipi cha kufanya tembelea maduka yetU nchini au pga simu Taskiu Ofice mwanza tz

NI HABARI NJEMA KWA WANAFAMILIA WOTE WA TASKIU GROUP KWA MUUNGANIKO WA KUNDI LA UPENDO NA MORNING STRAR LEO JUMANNE YA TAREHE 27 MWEZI WA 9 MWAKA 2020 KIKAO KILICHOFANYIKA KATIKA KUMBI ZA KUNDI NA KUCHAGUB UONGOZI RASMI UTAKAOONGOZA KUNDI

Picha
Jambo hilo limeleta mabadiliko makubwa sana katika kampuni ya vipaji taskiu kwani muunganiko huo umekua chachu kwa makundi yanayomilikiwa na taskiu kwani kabla ya hichi wanachokifanya hakikufanyika kabla ya hichi kwani kwa wamefanya shooting ya filam yao ya kwanza na ya kwanza kwa taskiu na vile vile sio filamu tu na video clip fupifupi ambazo zinaitangaza taskiu kwa asilimia kubwa zaidi hivyo kuna sababu ya kuitizama hii kwa jicho la tatu zifuatazo ni picha za wana morning star na upendo group kabla ya muungano wakati wanashuti filamu yao iliokwenda kwa jina la ndoa ya mikasa

HABARI YA SIKU NYINGI MPENDWA MDAU WA TASKIU GROUP COMPANY LIMITED TASKIU INAPENDA KUTAMBULISHA MRADI WAKE MPYA WA MWAKA 2022

Picha
KATIKA mpango mkakati mwaka ujao umehusisha mradi mkubwa wa ununuzi wa mazao na usafirishaji kutoka mashambani kwenda sokoni mradi huu mkubwa utasaidia wadau wa kampuni hii kupata ajira zaidi pamoja na ongezeko la kipato kitakachosaidia umoja kufikia malengo ya januari 15 2030 jambo hili ni limejadiliwa rasmi katika mkutano wa robo mwaka uliofanyika jana katika ofisi kuu mwanza na litapitishwa na kuidhinishwa rasmi kwenye mkutano mkuu mwezi wa 12 Mwaka huu kila la heri wadau

THAMANI YA KIPANDE CHA HISA NDANI YA TASKIU GROUP CO.LTD NI RASMI IMEPANDA

Picha
Huenda labda unajiuliza kuwa itakuaje maana labda ulisikia tetesi kuwa kuna uwezekano tukatoka kwenye kununua kipande kimoja cha HISA Shilingi 750 hadi kukinunua shilingi 1000 za kitanzania hio ilikua inahisiwa sasa jana rasmi katika kikao cha pili cha mwaka limepitishwa rasmi na kukubaliwa na wajumbe wote wa mkutano hivyo kuanzia jana Kwa mujibu wa katiba ni kwamba thamani ya kipande cha HISA Ni shilingi 1000 pesa za kitanzania lakini je kwa wale walionunua kipande shilingi 750 itakuaje wala usitie shaka Mdau Kama umenunua kipande kwa bei ya zamani kuna njia mbili za uboresHaji (1) Ubaki na hesabu lako la vipande ulivyonavyo kisha januari kauika gawio ukatwe shilingi 250 kwa kila kipande unachomiliki ili kujazia thamani ya kipande kuwa 1000 au (2) vipande vyako vipunguzwe kwa idadi itakayoruhusu thamani ya vipande vyako vyote kuwa shilingi 1000 kama hujaelewa unashauriwa kuwasiliana na uongozi mapema kwa maelekezo zaidi.

TASKIU GROUP COMPANY LIMITED RAFIKI WA WATU WANAOPENDA MAENDELEO YA PAMOJA NA SI UBINAFI WA KUJITAKIA MAFANIKIO MWENYEWE

Picha
Huyu ni madame Agnes mziray Jana alipoongoza kamati tendaji katika kikao cha sita na cha nusu mwaka ambacho kimeacha wadau wengi wa Taskiu Baada ya kuvuliwa uanachama wale jamaa wawili waliokula fedha za mradi wa mbogamboga kule iringa, kwa kawaida ilitakiwa wajitetee kabla ya jana lakini mabwana wale wamekua wakiipiga chenga ofici kuu lakini kitendo hicho kisichovumilika kiliipa kamati tendaji ikiongozwa na madame Agness Jana maamuzi ya kuwavua uanachama mabwana wale waliotumia fedha za Taskiu Kinyume na katiba Na kutokana na jamaa hawakuta kujitetea maamuzi yaliyofanywa na mkutano yakawa ni halali Je kwa wadau wanasemaje karibu ya asilimia mia wameunga mkono swala hilo tena nafikiri mdau ambaye hataona kuwa imetendeka haki hata yeye achunguzwe iwe itakavyokva lazima Tusonge mbele.