Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2021

Imetuchukua karibu siku tano wadau wa TASKIU GROUP CO LTD mwanza kuamini kua ni kweli DKT MAGUFULI amefariki

Picha
Huwezi ukamuelezea mazuri ya binafsi tu sisi kama shirika hapana ni pamoja na alivowapenda wanyonge na kuonyesha kuwa yeye ni mtetezi wa wanyonge lipi ambalo unaweza kupinga maneno yake kwani muda wote alimsikiliza mtu yeyote bila kuangalia hali yake hakika tunasema KIMEONDOKA CHUMA LIMEONDOKA JEMBE NGUZO TULOEGEMEA IMEDONDOKA SINA maana kwamba ndio tumedondoka Hapana lakini utakubaliana nami kuyumba tutayumba kidogo yote kwa yote ni kusema tu PUMZIKA BABA TUTAONANA BADAYE

Habari mpya kutoka kamati ya fedha na mipango ni kuwa PASCAL STEVENI amenunua vipande zaidi vya hisa ndani ya kampuni

Picha
Sio kushangaza watu tu bali limeacha nyuso za wanachama wa TASKIU GROUP CO.LTD Katika hali ya burudani na bashasha baada ya kununua tena vipande vya hisa 100 elfu ikiwa ni mwaka mmoja umepita tangu alivyofanya tukio kama hilo Kwa sasa pascal pichani anamiliki hisa elfu 200 zenye thamani ya milioni 150 hiyo ndio safari ya uhakika

2021 TASKIU GROUP COMPANY LIMITED INAKUSHIKA MKONO KATIKA SAFARI YA MAFANIKIO WEKEZA NA SISI TUKUSHIKE MKONO 2021

Picha
TUNAANZA NA WEWE NA TUNAMALIZA NA WEWE mafanikio yako ni mafanikio yetu pia.