Imetuchukua karibu siku tano wadau wa TASKIU GROUP CO LTD mwanza kuamini kua ni kweli DKT MAGUFULI amefariki
Huwezi ukamuelezea mazuri ya binafsi tu sisi kama shirika hapana ni pamoja na alivowapenda wanyonge na kuonyesha kuwa yeye ni mtetezi wa wanyonge lipi ambalo unaweza kupinga maneno yake kwani muda wote alimsikiliza mtu yeyote bila kuangalia hali yake hakika tunasema KIMEONDOKA CHUMA LIMEONDOKA JEMBE NGUZO TULOEGEMEA IMEDONDOKA SINA maana kwamba ndio tumedondoka Hapana lakini utakubaliana nami kuyumba tutayumba kidogo yote kwa yote ni kusema tu PUMZIKA BABA TUTAONANA BADAYE