Habari mpya kutoka kamati ya fedha na mipango ni kuwa PASCAL STEVENI amenunua vipande zaidi vya hisa ndani ya kampuni

Sio kushangaza watu tu bali limeacha nyuso za wanachama wa TASKIU GROUP CO.LTD Katika hali ya burudani na bashasha baada ya kununua tena vipande vya hisa 100 elfu ikiwa ni mwaka mmoja umepita tangu alivyofanya tukio kama hilo
Kwa sasa pascal pichani anamiliki hisa elfu 200 zenye thamani ya milioni 150 hiyo ndio safari ya uhakika

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Mradi mpya wa usambazaji wa movie zilizotafsiriwa kiswahili na madj wa kali wa TANZANIA sasa ni moja ya mipango mipya ya mwaka 2022