K atika mipango iliosapotiwa zaidi katika vikao vyote vilivyofanyika mwaka huu ndani ya taskiu ni mada ya usambazaji wa movie za nje ambazo zinatafsiriwa kwa kiswahili na madj wa tanzania kwa kushirikiana kibiashara na madj hao katika kusambaza mada hii ilipita bila kupingwa na mrengo wowote katika kikao hicho cha mwezi 9 mwaka huu na kuwa kikao cha kwanza kupita kwa asilia mia moja zaidi ya vikao vyote vilivyofanyika kati ya mwaka 2020 na 2021 jambo hilo litapitishwa rasmi katika Mkutano mkuu Wa mwaka 2021 utakaofanyika mwezi wa 12